Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia michezo ya viumbe vyenye roho vinavyokuwa majumbani kwa aina ya wanyama kama ngamia au mtu?
Jibu: Haijuzu. Haya ni masanamu. Haijuzu kuwalea watoto wenu juu ya mapicha na masanamu. Kuna michezo isiyokuwa picha. Kuna michezo mingi mbali na picha kama mfano wa gari, silaha au vitu vyengine mbali na mapicha ya viumbe vilivyo na roho.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 02/12/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia michezo ya viumbe vyenye roho vinavyokuwa majumbani kwa aina ya wanyama kama ngamia au mtu?
Jibu: Haijuzu. Haya ni masanamu. Haijuzu kuwalea watoto wenu juu ya mapicha na masanamu. Kuna michezo isiyokuwa picha. Kuna michezo mingi mbali na picha kama mfano wa gari, silaha au vitu vyengine mbali na mapicha ya viumbe vilivyo na roho.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 02/12/2017
https://firqatunnajia.com/michezo-ya-watoto-ya-viumbe-vyenye-roho-ni-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)