Mcheni Allaah juu ya Ummah! Mcheni Allaah juu ya nafsi zenu! Mcheni Allaah juu ya Ummah huu na juu ya mabarabaro wa waislamu. Wafunzeni yale yenye kuwanufaisha. Wafunzeni Qur-aan na Sunnah. Hivi sasa wamekaa wamefungwa kwenye kisiwa cha Khawaarij Guantanamo. Huko mmoja wao anasema: “Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab alinishauri. Allaah amjaze kheri. Ola wangu lau ningekubali ushauri wake.” Mpaka hivi sasa yuko huko. Anajuta kwa vile hakupokea nasaha zangu. Ni mambo ni namna hiyo. Sijui kakaa huko jela miaka mingapi sasa. Faida iko wapi ya mambo haya? Enyi vijana! Fuateni mwongozo! Enyi vijana! Kuwa na akili! Enyi vijana! Jifunzeni dini! Huenda mmoja wao anasema mpaka lini? Baada ya hapo Allaah tu ndiye anayejua atashika njia ya kwenda wapi. Uwezekano mkubwa ni wa yeye kuuliwa. Fuatani mwongozo, tafuteni elimu, jifunzeni dini na fanyeni ya usawa. Elimu haimfanyi mtu akawa na fujo na matatizo. Ninawanasihi wazazi wakitilia umuhimu juu ya wana na vijana wao. Enyi ndugu! Nyinyi ndio malengo. Mabarobaro kutoka Misri, Yemen, Sudan, Saudi Arabia na miji mingineyo wameshika njia wameenda. Masikini, wamesafishwa vichwa na watu walio na mifumo ya kupinda.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ath-Thabaat ´alaa as-Swiraat al-Mustaqiym yakuun bil-´Ilm http://olamayemen.com/Dars-9998
- Imechapishwa: 06/05/2018
Mcheni Allaah juu ya Ummah! Mcheni Allaah juu ya nafsi zenu! Mcheni Allaah juu ya Ummah huu na juu ya mabarabaro wa waislamu. Wafunzeni yale yenye kuwanufaisha. Wafunzeni Qur-aan na Sunnah. Hivi sasa wamekaa wamefungwa kwenye kisiwa cha Khawaarij Guantanamo. Huko mmoja wao anasema: “Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab alinishauri. Allaah amjaze kheri. Ola wangu lau ningekubali ushauri wake.” Mpaka hivi sasa yuko huko. Anajuta kwa vile hakupokea nasaha zangu. Ni mambo ni namna hiyo. Sijui kakaa huko jela miaka mingapi sasa. Faida iko wapi ya mambo haya? Enyi vijana! Fuateni mwongozo! Enyi vijana! Kuwa na akili! Enyi vijana! Jifunzeni dini! Huenda mmoja wao anasema mpaka lini? Baada ya hapo Allaah tu ndiye anayejua atashika njia ya kwenda wapi. Uwezekano mkubwa ni wa yeye kuuliwa. Fuatani mwongozo, tafuteni elimu, jifunzeni dini na fanyeni ya usawa. Elimu haimfanyi mtu akawa na fujo na matatizo. Ninawanasihi wazazi wakitilia umuhimu juu ya wana na vijana wao. Enyi ndugu! Nyinyi ndio malengo. Mabarobaro kutoka Misri, Yemen, Sudan, Saudi Arabia na miji mingineyo wameshika njia wameenda. Masikini, wamesafishwa vichwa na watu walio na mifumo ya kupinda.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ath-Thabaat ´alaa as-Swiraat al-Mustaqiym yakuun bil-´Ilm http://olamayemen.com/Dars-9998
Imechapishwa: 06/05/2018
https://firqatunnajia.com/miaka-yote-hii-gerezani-faida-iko-wapi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)