Swali: Mtu akiwa ni mwenye kukimbilia Salafiyyah. Lakini hata hivyo akawa bado yuko na athari zilizotangulia. Je, atupiwe macho mpaka pale atapoisalimisha nafsi yake na Salafiyyah?
Jibu: Ndio, atupiwe macho. Abainishiwe yale anayotumbukia ndani yake. Anaendelea katika udhaifu huu na kurudi nyuma huku? Anatakiwa kubainishiwa na kuelekezwa katika vitabu ambavyo anaweza kuvisoma ili aisalimishe nafsi yake. Kwa sababu huku kuyumbayumba kunadhuru na khaswa yule ambaye amekulia katika nchi hii. Mfumo uko wazi. Hana udhuru juu ya kuchanganyikiwa na kudhoofika. Lakini hata hivyo sisi tunakomaa nae na tunamsubiria mpaka pale atapojisalimisha.
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mkanda: Sabiyl-in-Naswr wat-Tamkiyn http://rabee.net/ar/questions.php?cat=27&id=206
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Mtu akiwa ni mwenye kukimbilia Salafiyyah. Lakini hata hivyo akawa bado yuko na athari zilizotangulia. Je, atupiwe macho mpaka pale atapoisalimisha nafsi yake na Salafiyyah?
Jibu: Ndio, atupiwe macho. Abainishiwe yale anayotumbukia ndani yake. Anaendelea katika udhaifu huu na kurudi nyuma huku? Anatakiwa kubainishiwa na kuelekezwa katika vitabu ambavyo anaweza kuvisoma ili aisalimishe nafsi yake. Kwa sababu huku kuyumbayumba kunadhuru na khaswa yule ambaye amekulia katika nchi hii. Mfumo uko wazi. Hana udhuru juu ya kuchanganyikiwa na kudhoofika. Lakini hata hivyo sisi tunakomaa nae na tunamsubiria mpaka pale atapojisalimisha.
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mkanda: Sabiyl-in-Naswr wat-Tamkiyn http://rabee.net/ar/questions.php?cat=27&id=206
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/mguu-mmoja-ndani-katika-salafiyyah-mwingine-nje-kwenye-hizbiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)