Swali: Je, inajuzu kunywa mkojo wa ngamia?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuunywa kwa yule aliyepatwa na homa. Inajuzu kuunywa kwa kuwa ni msafi. Mkojo wa ngamia ni msafi na inajuzu kujitibu nao na kuunywa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuunywa kwa yule aliyepatwa na homa. Inajuzu kuunywa kwa kuwa ni msafi. Mkojo wa ngamia ni msafi na inajuzu kujitibu nao na kuunywa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-11.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
http://firqatunnajia.com/mgonjwa-wa-homa-kujitibu-kwa-kunywa-mkojo-wa-ngamia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)