Swali: Inajuzu kwa mgonjwa kufupisha swalah za Rak´ah nne?
Jibu: Hapana. Kufupisha inakuwa maalum katika safari. Inajuzu kwa mgonjwa kujumuisha tu. Hapa hukosea baadhi ya watu wa kawaida ambao hudhania kujumuisha kunalazimisha kufupisha. Hivyo wanafupisha. Hili halijuzu. Mkazi hafupishi, ni mamoja ikiwa ni mtu mgonjwa au aliye na afya. Bali baadhi ya maimamu wa misikiti wanapojumuisha kwa ajili ya mvua wanafupisha swalah ya ´Ishaa. Hili ni kosa kubwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Inajuzu kwa mgonjwa kufupisha swalah za Rak´ah nne?
Jibu: Hapana. Kufupisha inakuwa maalum katika safari. Inajuzu kwa mgonjwa kujumuisha tu. Hapa hukosea baadhi ya watu wa kawaida ambao hudhania kujumuisha kunalazimisha kufupisha. Hivyo wanafupisha. Hili halijuzu. Mkazi hafupishi, ni mamoja ikiwa ni mtu mgonjwa au aliye na afya. Bali baadhi ya maimamu wa misikiti wanapojumuisha kwa ajili ya mvua wanafupisha swalah ya ´Ishaa. Hili ni kosa kubwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-kufupisha-swalah-za-rakah-nne/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)