Swali: Niliswali kwa kukusanya na kufupisha kati ya Dhuhr na ´Aswr hospitalini. Niliuliza nikaambiwa inafaa kwangu kukusanya na kufupisha. Je, ni wajibu kwangu kuzirudi swalah nilizoswali katika kipindi hichi?
Jibu: Swali hili linahitajia ufafanuzi. Ikiwa hospitali hiyo iko katika mji wake basi ni wajibu kwake kurudi zile swalah zote alizoswali hali ya kufupisha. Ikiwa hospitali hiyo iko katika mji/nchi nyingine, basi kitendo chake ni cha sawa na wala hana dhambi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (32) http://binothaimeen.net/content/730
- Imechapishwa: 25/11/2017
Swali: Niliswali kwa kukusanya na kufupisha kati ya Dhuhr na ´Aswr hospitalini. Niliuliza nikaambiwa inafaa kwangu kukusanya na kufupisha. Je, ni wajibu kwangu kuzirudi swalah nilizoswali katika kipindi hichi?
Jibu: Swali hili linahitajia ufafanuzi. Ikiwa hospitali hiyo iko katika mji wake basi ni wajibu kwake kurudi zile swalah zote alizoswali hali ya kufupisha. Ikiwa hospitali hiyo iko katika mji/nchi nyingine, basi kitendo chake ni cha sawa na wala hana dhambi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (32) http://binothaimeen.net/content/730
Imechapishwa: 25/11/2017
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-ameswali-kwa-kukusanya-na-kufupisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)