Swali: Ni kipi kinachomlazimu mgonjwa aliyekula Ramadhaan?
Jibu: Allaah amejibu jambo hili ndani ya Qur-aan:
فَمَن كَانَ مِنكُم مَّرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
”Yule atakayekuwa mgonjwa miongoni mwenu au akawa safarini, basi akamilishe idadi katika masiku mengineyo.” (02:184)
Ikiwa ni maradhi ya kujitokeza ghafla na yakaondoka, basi ni lazima kulipa siku ulizokula kabla ya kuingia Ramadhaan nyingine. Akichelewesha mpaka kukaingia Ramadhaan nyingine ni lazima kwake vilevile kulisha? Maoni sahihi kwa mtazamo wangu ni kwamba hakua kinachomlazimu isipokuwa tu kulipa zile siku anazodaiwa kwa mujibu wa Aayah:
فَمَن كَانَ مِنكُم مَّرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
”Yule atakayekuwa mgonjwa miongoni mwenu au akawa safarini, basi akamilishe idadi katika masiku mengineyo.” (02:184)
Si lazima kwake kutoa chakula.
Lakini maradhi yakiwa ni yale yasiyotarajiwa kupona basi anatakiwa kumlisha masikini kwa kila siku moja ambayo hakufunga.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/372)
- Imechapishwa: 24/05/2019
Swali: Ni kipi kinachomlazimu mgonjwa aliyekula Ramadhaan?
Jibu: Allaah amejibu jambo hili ndani ya Qur-aan:
فَمَن كَانَ مِنكُم مَّرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
”Yule atakayekuwa mgonjwa miongoni mwenu au akawa safarini, basi akamilishe idadi katika masiku mengineyo.” (02:184)
Ikiwa ni maradhi ya kujitokeza ghafla na yakaondoka, basi ni lazima kulipa siku ulizokula kabla ya kuingia Ramadhaan nyingine. Akichelewesha mpaka kukaingia Ramadhaan nyingine ni lazima kwake vilevile kulisha? Maoni sahihi kwa mtazamo wangu ni kwamba hakua kinachomlazimu isipokuwa tu kulipa zile siku anazodaiwa kwa mujibu wa Aayah:
فَمَن كَانَ مِنكُم مَّرِيضًا أَوْ عَلَىٰ سَفَرٍ فَعِدَّةٌ مِّنْ أَيَّامٍ أُخَرَ
”Yule atakayekuwa mgonjwa miongoni mwenu au akawa safarini, basi akamilishe idadi katika masiku mengineyo.” (02:184)
Si lazima kwake kutoa chakula.
Lakini maradhi yakiwa ni yale yasiyotarajiwa kupona basi anatakiwa kumlisha masikini kwa kila siku moja ambayo hakufunga.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/372)
Imechapishwa: 24/05/2019
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-ambaye-hakufunga-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)