Swali: Mfungaji kutumia kifaa cha kuvuta pumzi (inhaler) kinamfunguza?
Jibu: Kifaa hiki anachotumia hakifiki tumboni mwake. Kwa ajili hiyo tunasema hakuna neno kutumia kifaa hiki ilihali umefunga na wala hakikufunguzi. Kwa sababu ni kama tulivyosema tumboni hakuingii kitu. Ni kitu ambacho mtu anajipuliza nacho na kinaondoka. Hakiingizi kitu tumboni mpaka tuseme kuwa kinapelekea kufunguza. Kwa hivyo inajuzu kukitumia ilihali umefunga. Hakiharibu swawm yako.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/209-210)
- Imechapishwa: 09/06/2017
Swali: Mfungaji kutumia kifaa cha kuvuta pumzi (inhaler) kinamfunguza?
Jibu: Kifaa hiki anachotumia hakifiki tumboni mwake. Kwa ajili hiyo tunasema hakuna neno kutumia kifaa hiki ilihali umefunga na wala hakikufunguzi. Kwa sababu ni kama tulivyosema tumboni hakuingii kitu. Ni kitu ambacho mtu anajipuliza nacho na kinaondoka. Hakiingizi kitu tumboni mpaka tuseme kuwa kinapelekea kufunguza. Kwa hivyo inajuzu kukitumia ilihali umefunga. Hakiharibu swawm yako.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/209-210)
Imechapishwa: 09/06/2017
https://firqatunnajia.com/mfungaji-kutumia-kifaa-cha-kuvuta-pumzi-kinaharibu-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)