Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kula na kunywa kwa kusahau? Kipi mtu afanye akikumbuka wakati yuko anakula na anakunywa?
Jibu: Tumetangulia kusema kuwa mwenye kusahau haiharibiki funga yake ijapo atakula na kunywa sana. Muda wa kuwa amesahau swawm yake ni sahihi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kusahau ambapo akala au akanywa basi aikamilishe swawm yake. Kwani si vyengine Allaah ndiye kamlisha na kumnywesha.”[1]
Lakini anatakiwa kuacha kula na kunywa pale tu atapokumbuka. Tukikadiria kuwa tonge au kinywaji kiko mdomoni mwake, basi analazimika kutema. Kwa sababu hapo ule udhuru ambao Shari´ah imefanya ni kikwazo cha kufungua kitakuwa kimeondoka.
[1] al-Bukhaariy (1933) na Muslim (1155).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/275)
- Imechapishwa: 01/05/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kula na kunywa kwa kusahau? Kipi mtu afanye akikumbuka wakati yuko anakula na anakunywa?
Jibu: Tumetangulia kusema kuwa mwenye kusahau haiharibiki funga yake ijapo atakula na kunywa sana. Muda wa kuwa amesahau swawm yake ni sahihi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kusahau ambapo akala au akanywa basi aikamilishe swawm yake. Kwani si vyengine Allaah ndiye kamlisha na kumnywesha.”[1]
Lakini anatakiwa kuacha kula na kunywa pale tu atapokumbuka. Tukikadiria kuwa tonge au kinywaji kiko mdomoni mwake, basi analazimika kutema. Kwa sababu hapo ule udhuru ambao Shari´ah imefanya ni kikwazo cha kufungua kitakuwa kimeondoka.
[1] al-Bukhaariy (1933) na Muslim (1155).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/275)
Imechapishwa: 01/05/2021
https://firqatunnajia.com/mfungaji-anayekula-na-kunywa-kwa-kusahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)