Swali: Mfungaji akifanya punyeto ni wajibu kwake kutoa kafara?
Jibu: Mfungaji akifanya punyeto na akatokwa na manii ni wajibu kwake kulipa siku hiyo ambayo amefanya punyeto. Haimlazimu kutoa kafara. Kafara sio wajibu isipokuwa kwa kufanya jimaa peke yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/233)
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali: Mfungaji akifanya punyeto ni wajibu kwake kutoa kafara?
Jibu: Mfungaji akifanya punyeto na akatokwa na manii ni wajibu kwake kulipa siku hiyo ambayo amefanya punyeto. Haimlazimu kutoa kafara. Kafara sio wajibu isipokuwa kwa kufanya jimaa peke yake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/233)
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/mfungaji-akifanya-punyeto-ni-wajibu-kwake-kutoa-kafara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)