Imesimuliwa kutoka kwa baadhi ya watu wajinga wakiuliza ni vipi mbingu zinakuwa wakati Allaah anaposhuka. Wakasema:
“Huzinyanyua kisha huzishusha. Yeye ni muweza wa kufanya hivo.”
Kila ambaye anafikiria yale ambayo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemsifu Mola wake ni kama sifa za viwiliwili vyao ni wenye kupotea. Kisha baada ya hapo wanajigawanya makundi mawili.
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Hadiyth-in-Nuzuul, uk. 113
- Imechapishwa: 01/04/2019
Imesimuliwa kutoka kwa baadhi ya watu wajinga wakiuliza ni vipi mbingu zinakuwa wakati Allaah anaposhuka. Wakasema:
“Huzinyanyua kisha huzishusha. Yeye ni muweza wa kufanya hivo.”
Kila ambaye anafikiria yale ambayo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemsifu Mola wake ni kama sifa za viwiliwili vyao ni wenye kupotea. Kisha baada ya hapo wanajigawanya makundi mawili.
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Hadiyth-in-Nuzuul, uk. 113
Imechapishwa: 01/04/2019
https://firqatunnajia.com/mfano-juu-ya-uongo-wa-ibn-batwuutah-juu-ya-ibn-taymiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)