Swali: Kutokana na maendeleo ya matibabu ya meno ya kisasa meno ya dhahabu yamebadilishwa na vitu vyengine ambavyo ni bora zaidi. Je, bado itaendelea kufaa kutumia meno ya dhahabu?

Jibu: Ndio, hakuna neno juu ya hilo. Haitakiwi kusemwa kwamba haifai kutumia meno ya dhahabu kwa sababu tu kuna vyengine badala yake. Jengine ni kwamba dhahabu ina sifa maalum. Kwa mfano haiozi kamwe.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
  • Imechapishwa: 29/09/2019