Swali: Kuna mwanaume amekuja kutaka kumchumbia msichana wangu na ikanibainikia ya kwamba haswali al-Fajr isipokuwa pale anapoamka kutoka usingizi baada ya jua kuchomoza. Nifanye nini kabla ya ndoa?
Jibu: Usimuozeshe mpaka atubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) na aamke kuswali swalah ya al-Fajr pamoja na waislamu wenzake. Atapotubia na kunyooka na akaswali pamoja na waislamu wenzake hapo ni sawa kumuozesha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (60) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16548
- Imechapishwa: 16/09/2017
Swali: Kuna mwanaume amekuja kutaka kumchumbia msichana wangu na ikanibainikia ya kwamba haswali al-Fajr isipokuwa pale anapoamka kutoka usingizi baada ya jua kuchomoza. Nifanye nini kabla ya ndoa?
Jibu: Usimuozeshe mpaka atubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) na aamke kuswali swalah ya al-Fajr pamoja na waislamu wenzake. Atapotubia na kunyooka na akaswali pamoja na waislamu wenzake hapo ni sawa kumuozesha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (60) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16548
Imechapishwa: 16/09/2017
https://firqatunnajia.com/mchumba-anayepuuzia-swalah-ya-al-fajr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)