Swali: Babu yangu amekufa na hakuwa muislamu ambapo famila yangu ikaniomba msaada wa kipesa kwa ajili ya mazishi ambayo hayatosalimika kutokamana na mambo ya shirki na maovu. Je, inafaa kwangu kuwapa msaada?
Jibu: Hapana. Ikiwa si wenye kufuata Sunanh wala dini, usiwasaidie katika batili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
- Imechapishwa: 19/12/2020
Swali: Babu yangu amekufa na hakuwa muislamu ambapo famila yangu ikaniomba msaada wa kipesa kwa ajili ya mazishi ambayo hayatosalimika kutokamana na mambo ya shirki na maovu. Je, inafaa kwangu kuwapa msaada?
Jibu: Hapana. Ikiwa si wenye kufuata Sunanh wala dini, usiwasaidie katika batili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (104) https://www.alfawzan. af.org.sa/sites/default/files/13-03-1441%D9%87%D9%80~1_0.mp3
Imechapishwa: 19/12/2020
https://firqatunnajia.com/mchango-juu-ya-mazishi-ya-kizushi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)