Miongoni mwa mambo ya haramu ni wanaume kuchanganyika na wanawake katika sherehe hizi za harusi. Sivyo tu, bali vijana wanachanganyika na wasichana na huenda mbali na mchanganyiko kukatokea kucheza – simaanishi katika nchi yetu hii, nasikia kuwa katika mnasaba huu kuna mchanganyiko kati ya wanaume na wanawake na wanacheza katika nchi zingine – huku ni kuikufuru neema [ya ndoa].
Lililo la wajibu kwetu ni kuwaweka mbali wanaume na wanawake. Hawa tuwaweke sehemu yao na hawa wengine sehemu yao.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (11)
- Imechapishwa: 03/05/2020
Miongoni mwa mambo ya haramu ni wanaume kuchanganyika na wanawake katika sherehe hizi za harusi. Sivyo tu, bali vijana wanachanganyika na wasichana na huenda mbali na mchanganyiko kukatokea kucheza – simaanishi katika nchi yetu hii, nasikia kuwa katika mnasaba huu kuna mchanganyiko kati ya wanaume na wanawake na wanacheza katika nchi zingine – huku ni kuikufuru neema [ya ndoa].
Lililo la wajibu kwetu ni kuwaweka mbali wanaume na wanawake. Hawa tuwaweke sehemu yao na hawa wengine sehemu yao.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (11)
Imechapishwa: 03/05/2020
https://firqatunnajia.com/mchanganyiko-wa-wanaume-na-wanawake-harusini-%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)