Swali: Mimi na mke wangu tulikuwa tunataka kubadilisha pasipoti mahakamani ambapo tukaanza kugombana kuhusu mchanganyiko na wanawake wasiojisitiri walioko huko.
Jibu: Mtazame mke wako na mwache aandamane na wewe. Mwache aende huko anakolazimika kwenda. Lakini hata hivyo ni lazima ajihifadhi na awe pamoja na wewe. Malizeni mahitajio yenu kisha mwende zenu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Mimi na mke wangu tulikuwa tunataka kubadilisha pasipoti mahakamani ambapo tukaanza kugombana kuhusu mchanganyiko na wanawake wasiojisitiri walioko huko.
Jibu: Mtazame mke wako na mwache aandamane na wewe. Mwache aende huko anakolazimika kwenda. Lakini hata hivyo ni lazima ajihifadhi na awe pamoja na wewe. Malizeni mahitajio yenu kisha mwende zenu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/mchanganyiko-serikalini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)