Swali: Baadhi ya watu wasiokuwa wasomi wanalalamika kwamba wamemuomba Allaah (´Azza wa Jall) miezi sita au mine au kwa muda mrefu lakini hata hivyo hawajaitikiwa. Je, waambiwe wafanye subira na pengine Allaah akawacheleweshea na kuwapa kilicho bora zaidi?
Jibu: Ndio, wafanye subira. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna muislamu yeyote anayeomba maombi ambayo ndani yake hamna dhambi wala kukata udugu isipokuwa Allaah atampa moja kati ya mambo matatu; ima atamcheleweshea maombi yake, akamcheleweshea nayo huko Aakhirah au akamwepusha na ovu sawa na mfano wake.” Wakasema: “Basi tufanye kwa wingi?” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Allaah ni mwingi zaidi.”[1]
Allaah ni Mwingi wa hekima na mjuzi wa yote. Anaweza kumcheleweshea. Pengine kumjibu kukawa kuna madhara naye.
[1] Ahmad (03/18).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 58
- Imechapishwa: 30/06/2019
Swali: Baadhi ya watu wasiokuwa wasomi wanalalamika kwamba wamemuomba Allaah (´Azza wa Jall) miezi sita au mine au kwa muda mrefu lakini hata hivyo hawajaitikiwa. Je, waambiwe wafanye subira na pengine Allaah akawacheleweshea na kuwapa kilicho bora zaidi?
Jibu: Ndio, wafanye subira. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna muislamu yeyote anayeomba maombi ambayo ndani yake hamna dhambi wala kukata udugu isipokuwa Allaah atampa moja kati ya mambo matatu; ima atamcheleweshea maombi yake, akamcheleweshea nayo huko Aakhirah au akamwepusha na ovu sawa na mfano wake.” Wakasema: “Basi tufanye kwa wingi?” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): “Allaah ni mwingi zaidi.”[1]
Allaah ni Mwingi wa hekima na mjuzi wa yote. Anaweza kumcheleweshea. Pengine kumjibu kukawa kuna madhara naye.
[1] Ahmad (03/18).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 58
Imechapishwa: 30/06/2019
https://firqatunnajia.com/mbona-nimeomba-kwa-muda-mrefu-ila-sijajibiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)