Swali: Je, mayahudi na manaswara wanakufurishwa kwa ujumla au kila mmoja kwa dhati zao?
Jibu: Wanakufurishwa kwa jumla na kila mmoja kwa dhati yake. Kila myahudi na mnaswara ni kafiri. Lakini usichanganye kati ya kumhukumu ukafiri na kumhukumu kwamba ataingia Motoni baada ya kufa kwake. Mafikio yake huku Aakhirah hili ni jambo analolijua Allaah pekee. Wewe huwezi kujua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/03.mp3
- Imechapishwa: 24/02/2019
Swali: Je, mayahudi na manaswara wanakufurishwa kwa ujumla au kila mmoja kwa dhati zao?
Jibu: Wanakufurishwa kwa jumla na kila mmoja kwa dhati yake. Kila myahudi na mnaswara ni kafiri. Lakini usichanganye kati ya kumhukumu ukafiri na kumhukumu kwamba ataingia Motoni baada ya kufa kwake. Mafikio yake huku Aakhirah hili ni jambo analolijua Allaah pekee. Wewe huwezi kujua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/03.mp3
Imechapishwa: 24/02/2019
https://firqatunnajia.com/mayahudi-na-manaswara-wanatakiwa-kukufurishwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)