Swali: Imani ya mawalii ni kamilifu au kuna uwezekano wakawa na imani pungufu?
Jibu: Kuwa na imani kamilifu ni jambo gumu isipokuwa kwa Mitume (´alayhim-us-Swalaatu was-Salaam) na wale wafuasi wao waliowafikishwa na Allaah. Lakini hatumkatii yeyote kuwa na imani kamilifu. Isipokuwa tu Mitume (´alayhim-us-Swalaatu was-Salaam). Kuhusu wengine wana upungufu ima ukawa mwingi au mdogo. Hatumtakasi yeyote mbele ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 28/01/2017
Swali: Imani ya mawalii ni kamilifu au kuna uwezekano wakawa na imani pungufu?
Jibu: Kuwa na imani kamilifu ni jambo gumu isipokuwa kwa Mitume (´alayhim-us-Swalaatu was-Salaam) na wale wafuasi wao waliowafikishwa na Allaah. Lakini hatumkatii yeyote kuwa na imani kamilifu. Isipokuwa tu Mitume (´alayhim-us-Swalaatu was-Salaam). Kuhusu wengine wana upungufu ima ukawa mwingi au mdogo. Hatumtakasi yeyote mbele ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 28/01/2017
https://firqatunnajia.com/mawalii-wana-imani-kamilifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)