Swali: Kuna ambao wanakhusisha mawaidha, nasaha na du´aa mwishoni wa mwaka. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana. Ni Bid´ah. Haijuzu kukhusisha mwisho wa mwaka wa Hijiryyah kwa sherehe, hongera, Dhikr au du´aa. Haijuzu. Salaf walikuwa hawafanyi hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Kuna ambao wanakhusisha mawaidha, nasaha na du´aa mwishoni wa mwaka. Je, ni sahihi?
Jibu: Hapana. Ni Bid´ah. Haijuzu kukhusisha mwisho wa mwaka wa Hijiryyah kwa sherehe, hongera, Dhikr au du´aa. Haijuzu. Salaf walikuwa hawafanyi hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14331228.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/mawaidha-nasaha-na-duaa-mwisho-wa-mwaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)