Swali: Karibuni makafiri watakuwa na sikukuu yao inayoitwa “Siku ya wapendanao”. Baadhi ya vijana wa Kiislamu wanatumia fursa ya kuvaa mavazi mekundu. Je, hii ni kasoro katika ´Aqiydah?
Jibu: Ndio. Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayejifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”
Haijuzu kuafikiana nao pindi wanapokuwa na sikukuu zao na kuvaa mavazi ya sikukuu zao. Hilo halijuzu. Linawakweza hawa makafiri na ni aina ya ´ibaadah iliyozuliwa. Sikukuu hizi wamezizua kama Siku ya wapendanao, siku ya kuzaliwa na kadhalika. Wamezua sikukuu hizi. Allaah hajateremsha dalili yoyote juu ya hilo. Tusiwaige. Haitakiwi kamwe kuafikiana nao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.darulhadith.com/v2/roda-klader-infor-alla-hjartans-dag/
- Imechapishwa: 14/02/2017
Swali: Karibuni makafiri watakuwa na sikukuu yao inayoitwa “Siku ya wapendanao”. Baadhi ya vijana wa Kiislamu wanatumia fursa ya kuvaa mavazi mekundu. Je, hii ni kasoro katika ´Aqiydah?
Jibu: Ndio. Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayejifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”
Haijuzu kuafikiana nao pindi wanapokuwa na sikukuu zao na kuvaa mavazi ya sikukuu zao. Hilo halijuzu. Linawakweza hawa makafiri na ni aina ya ´ibaadah iliyozuliwa. Sikukuu hizi wamezizua kama Siku ya wapendanao, siku ya kuzaliwa na kadhalika. Wamezua sikukuu hizi. Allaah hajateremsha dalili yoyote juu ya hilo. Tusiwaige. Haitakiwi kamwe kuafikiana nao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.darulhadith.com/v2/roda-klader-infor-alla-hjartans-dag/
Imechapishwa: 14/02/2017
https://firqatunnajia.com/mavazi-mekundu-siku-ya-wapendanao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)