Swali: Mwanamke ambaye amefiwa na mume wake, je avae mavazi meusi au haya ni maneno tu ya watu? Na je, atie wanja?
Jibu: Mwanamke ambaye amefiwa na mume wake, avae mavazi ambayo hayavutii watu kwake, sawa mavazi hayo yakiwa ni meupe au meusi. Akae eda miezi minne na siku kumi. Kama Alivyosema Allaah (Ta´ala):
وَالَّذِينَ يُتَوَفَّوْنَ مِنكُمْ وَيَذَرُونَ أَزْوَاجًا يَتَرَبَّصْنَ بِأَنفُسِهِنَّ أَرْبَعَةَ أَشْهُرٍ وَعَشْرًا
“Na wale wanaofishwa miongoni mwenu na wakaacha wake, (hao wake) wangojee nafsi zao miezi minne na siku kumi (eda ya mfiwa).” (02:134)
Akae masiku haya naye yuko katika nyumba ya mume wake ambapo kafa ndani yake.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=651
- Imechapishwa: 28/02/2018
Swali: Mwanamke ambaye amefiwa na mume wake, je avae mavazi meusi au haya ni maneno tu ya watu? Na je, atie wanja?
Jibu: Mwanamke ambaye amefiwa na mume wake, avae mavazi ambayo hayavutii watu kwake, sawa mavazi hayo yakiwa ni meupe au meusi. Akae eda miezi minne na siku kumi. Kama Alivyosema Allaah (Ta´ala):
وَالَّذِينَ يُتَوَفَّوْنَ مِنكُمْ وَيَذَرُونَ أَزْوَاجًا يَتَرَبَّصْنَ بِأَنفُسِهِنَّ أَرْبَعَةَ أَشْهُرٍ وَعَشْرًا
“Na wale wanaofishwa miongoni mwenu na wakaacha wake, (hao wake) wangojee nafsi zao miezi minne na siku kumi (eda ya mfiwa).” (02:134)
Akae masiku haya naye yuko katika nyumba ya mume wake ambapo kafa ndani yake.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=651
Imechapishwa: 28/02/2018
https://firqatunnajia.com/mavazi-ambayo-anapaswa-kuvaa-mwanamke-aliyefiwa-na-mume-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)