Kutokana na tunavyojua tukirudi katika historia maulidi ya kwanza yalifanyika kwa jina la mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kisha kukafuatia kwa jina la mazazi ya ´Aliy bin Twaalib, kisha ya Faatwimah (Radhiya Allaahu ´anhumaa), kisha ya al-Hasan na al-Husayn (Radhiya Allaahu ´anhumaa) halafu ya kiongozi aliyekuweko kipindi hicho. Sherehe sita. Haya yalitokea wakati gani? Wakati wa Faatwimiyyuun au sahihi zaiid ´Ubaydiyyuun. ´Ubaydiyyuun ni watu ambao walitaka kulinyanyua juu jambo lao na wakadai kwamba wao ni Faatwimiyyuun wakijinasibisha kwa Faatwimah az-Zahraa´ na wakataka kuthibitisha jina hili feki eti kwa kufungamana kwao na watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Matokeo yake wakawa wanasherehekea sherehe hizi sita kila mwaka kwa ajili eti ya kuwaadhimisha watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu wao uhalisia wa mambo ni kwamba si katika wao ndio maana wakajinasibisha na kutaka kuthibitisha ukoo huu.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad Amaan al-Jaamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://ajurry.com/home/%D8%A7%D9%84%D9%85%D9%88%D9%84%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A8%D9%88%D9%8A/
- Imechapishwa: 04/11/2019
Kutokana na tunavyojua tukirudi katika historia maulidi ya kwanza yalifanyika kwa jina la mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), kisha kukafuatia kwa jina la mazazi ya ´Aliy bin Twaalib, kisha ya Faatwimah (Radhiya Allaahu ´anhumaa), kisha ya al-Hasan na al-Husayn (Radhiya Allaahu ´anhumaa) halafu ya kiongozi aliyekuweko kipindi hicho. Sherehe sita. Haya yalitokea wakati gani? Wakati wa Faatwimiyyuun au sahihi zaiid ´Ubaydiyyuun. ´Ubaydiyyuun ni watu ambao walitaka kulinyanyua juu jambo lao na wakadai kwamba wao ni Faatwimiyyuun wakijinasibisha kwa Faatwimah az-Zahraa´ na wakataka kuthibitisha jina hili feki eti kwa kufungamana kwao na watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Matokeo yake wakawa wanasherehekea sherehe hizi sita kila mwaka kwa ajili eti ya kuwaadhimisha watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa sababu wao uhalisia wa mambo ni kwamba si katika wao ndio maana wakajinasibisha na kutaka kuthibitisha ukoo huu.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad Amaan al-Jaamiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://ajurry.com/home/%D8%A7%D9%84%D9%85%D9%88%D9%84%D8%AF-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A8%D9%88%D9%8A/
Imechapishwa: 04/11/2019
https://firqatunnajia.com/maulidi-sita-kila-mwaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)