Swali: Siku sita zilizopita nilitwaharika na ada ya mwezi. Baada ya hapo nikatokwa na matone ya damu baada ya kusafika mpaka wakati wa alasiri. Je, inafaa kuendelea kuswali na ´ibaada baada ya hapo?
Jibu: Ndio, haya si kitu. Matone baada ya kutwaharika hayazingatiwi kuwa ni hedhi. ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) alifananisha kitu hicho na kutokwa na damu puani. Akasema mwanamke akitokwa na kitu kinachofanana kutokwa damu puani baada ya kutwaharika haidhuru.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (73) http://binothaimeen.net/content/1707
- Imechapishwa: 15/04/2020
Swali: Siku sita zilizopita nilitwaharika na ada ya mwezi. Baada ya hapo nikatokwa na matone ya damu baada ya kusafika mpaka wakati wa alasiri. Je, inafaa kuendelea kuswali na ´ibaada baada ya hapo?
Jibu: Ndio, haya si kitu. Matone baada ya kutwaharika hayazingatiwi kuwa ni hedhi. ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) alifananisha kitu hicho na kutokwa na damu puani. Akasema mwanamke akitokwa na kitu kinachofanana kutokwa damu puani baada ya kutwaharika haidhuru.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (73) http://binothaimeen.net/content/1707
Imechapishwa: 15/04/2020
https://firqatunnajia.com/matone-baada-ya-kutwaharika-na-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)