Swali: Kuweka maandishi kama “Ametakasika Allaah” (سبحان الله), “Himdi zote ni za Allaah” (الحمد لله) na “Mdhukuru Allaah” (اذكر الله) kwenye gari inazingatiwa ni hirizi?
Jibu: Inazingatiwa ni hirizi. Haijuzu kuandika Aayah za Qur-aan, Hadiyth au du´aa kwenye magari. Haya ni matendo ya wajinga. Haijuzu kufanya hivi na kitendo hichi kinaifanya kutwezwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
- Imechapishwa: 29/07/2017
Swali: Kuweka maandishi kama “Ametakasika Allaah” (سبحان الله), “Himdi zote ni za Allaah” (الحمد لله) na “Mdhukuru Allaah” (اذكر الله) kwenye gari inazingatiwa ni hirizi?
Jibu: Inazingatiwa ni hirizi. Haijuzu kuandika Aayah za Qur-aan, Hadiyth au du´aa kwenye magari. Haya ni matendo ya wajinga. Haijuzu kufanya hivi na kitendo hichi kinaifanya kutwezwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
Imechapishwa: 29/07/2017
https://firqatunnajia.com/matendo-ya-wajinga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)