Swali: Kuna wanachuoni waliokuja nyuma ambao wanasema kwamba matendo ni sharti ya imani. Ni yepi makusudio ya maneno haya na ni sahihi?
Jibu: Si sahihi. Matendo ni katika imani. Imani ni kutamka kwa ulimi, kuamini moyoni na matendo ya viungo. Inazidi kwa utiifu na inapungua kwa maasi. Hii ndio maana ya imani. Matendo yanaingia katika imani na sio sharti ya imani. Hakuna yeyote katika wanachuoni wanaozingatiwa aliyesema hivi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 25/06/2018
Swali: Kuna wanachuoni waliokuja nyuma ambao wanasema kwamba matendo ni sharti ya imani. Ni yepi makusudio ya maneno haya na ni sahihi?
Jibu: Si sahihi. Matendo ni katika imani. Imani ni kutamka kwa ulimi, kuamini moyoni na matendo ya viungo. Inazidi kwa utiifu na inapungua kwa maasi. Hii ndio maana ya imani. Matendo yanaingia katika imani na sio sharti ya imani. Hakuna yeyote katika wanachuoni wanaozingatiwa aliyesema hivi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 25/06/2018
https://firqatunnajia.com/matendo-sio-sharti-ya-imani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)