Swali: Ni ipi hukumu ya kufungua kituo cha matabano baada ya kupata idhini ya wanachuoni?
Jibu: Vituo kama hivi visifunguliwe. Watu watavitumia kwa ajili ya kula mali za watu. Kusifunguliwe vituo kwa ajili ya matabano. Matabano ni kitendo ambacho mtu hujitolea. Akipewa kitu kwa ajili ya matabano yake, akipokee. Lakini hata hivyo asiwawekee watu sharti ya kiwango cha pesa kadhaa na kufunga duka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (60) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16548
- Imechapishwa: 16/09/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kufungua kituo cha matabano baada ya kupata idhini ya wanachuoni?
Jibu: Vituo kama hivi visifunguliwe. Watu watavitumia kwa ajili ya kula mali za watu. Kusifunguliwe vituo kwa ajili ya matabano. Matabano ni kitendo ambacho mtu hujitolea. Akipewa kitu kwa ajili ya matabano yake, akipokee. Lakini hata hivyo asiwawekee watu sharti ya kiwango cha pesa kadhaa na kufunga duka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (60) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16548
Imechapishwa: 16/09/2017
https://firqatunnajia.com/matabano-yanatakiwa-kuwa-kitendo-cha-mtu-kujitolea/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)