Swali: Bora ni kuyanyoa masharubu au kuyapunguza?
Jibu: Bora ni kuyapunguza masharubu. Hivyo ndivyo ilivyokuja katika Sunnah; ima mtu anatakiwa kupunguza ncha zake zinazofuata ili midomo yake ionekane au azipunguze zote ili yabaki madogo kabisa.
Ama kuzinyoa sio katika Sunnah. Baadhi ya watu wanasema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa kutumia kipimo juu ya kunyoa kichwa katika hajj na kupingana na andiko hayawazingatiwi. Kwa ajili hii amesema Maalik kuhusu kunyoa:
“Ni Bid´ah iliyoletwa na watu. Haitakiwi kuacha yale yaliyoletwa na Sunnah. Kwani kuifuata ni uongofu, wema, furaha na mafanikio.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/129)
- Imechapishwa: 30/06/2017
Swali: Bora ni kuyanyoa masharubu au kuyapunguza?
Jibu: Bora ni kuyapunguza masharubu. Hivyo ndivyo ilivyokuja katika Sunnah; ima mtu anatakiwa kupunguza ncha zake zinazofuata ili midomo yake ionekane au azipunguze zote ili yabaki madogo kabisa.
Ama kuzinyoa sio katika Sunnah. Baadhi ya watu wanasema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah kwa kutumia kipimo juu ya kunyoa kichwa katika hajj na kupingana na andiko hayawazingatiwi. Kwa ajili hii amesema Maalik kuhusu kunyoa:
“Ni Bid´ah iliyoletwa na watu. Haitakiwi kuacha yale yaliyoletwa na Sunnah. Kwani kuifuata ni uongofu, wema, furaha na mafanikio.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/129)
Imechapishwa: 30/06/2017
https://firqatunnajia.com/masharubu-yanapunguzwa-na-hayanyolewi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)