Swali: Je, viongozi waislamu ambao hawahukumu kwa Qur-aan na Sunnah ni watawala? Je, inafaa kuwapiga vita wakiwa sio watawala?
Jibu: Nimuulize huyu muulizaji: Je, vita na makinzano yaliyoikumba miji yamezalisha utulivu, amani, uimara, usalama na maendeleo? Hizi ni propaganda zenye chuki.
- Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Haqiyqat-ul-Bay´ah fiyl-Islaam wa Bayaan Shuruutwihaa wa Khatwar Naz´ihaa http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=148858
- Imechapishwa: 06/12/2020
Swali: Je, viongozi waislamu ambao hawahukumu kwa Qur-aan na Sunnah ni watawala? Je, inafaa kuwapiga vita wakiwa sio watawala?
Jibu: Nimuulize huyu muulizaji: Je, vita na makinzano yaliyoikumba miji yamezalisha utulivu, amani, uimara, usalama na maendeleo? Hizi ni propaganda zenye chuki.
Mhusika: ´Allaamah Swaalih bin Muhammad al-Luhaydaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Haqiyqat-ul-Bay´ah fiyl-Islaam wa Bayaan Shuruutwihaa wa Khatwar Naz´ihaa http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=148858
Imechapishwa: 06/12/2020
https://firqatunnajia.com/mashambulizi-kwa-mtawala-asiyehukumu-kwa-uislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)