Swali: Mwenye kuswali akiwekea mashaka kama amesoma al-Faatihah au hakusoma, kisha akawa ameisoma mara nyingine, je, juu yake ana Sujuud-us-Sahuw kwa kuwa ametilia shaka juu ya nguzo?
Jibu: Ndio. Anachotakiwa aisome na ahakikishe kuwa ameisoma halafu asujudu Sujuud-us-Sahuw kwa kuwekea kwake shaka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (45) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-4-20.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Mwenye kuswali akiwekea mashaka kama amesoma al-Faatihah au hakusoma, kisha akawa ameisoma mara nyingine, je, juu yake ana Sujuud-us-Sahuw kwa kuwa ametilia shaka juu ya nguzo?
Jibu: Ndio. Anachotakiwa aisome na ahakikishe kuwa ameisoma halafu asujudu Sujuud-us-Sahuw kwa kuwekea kwake shaka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (45) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-4-20.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/mashaka-juu-ya-kusoma-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)