Swali: Ni marejeo yepi mazuri kwa anayetaka kujua sifa ya Hajj na ´Umrah?
Jibu: Tungo zilizotungwa na wanachuoni waaminifu kuhusu namna ya kutekeleza ´ibaadah ya hajj na ´Umrah ni nyingi. Hadiyth iliyokusanya kuhusu namna ya hajj ni ile ya Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh). Hakika ametaja namna ya sifa ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuanzia alipotoka al-Madiynah mpaka ile siku ya ´Iyd kwa upambanuzi. Hakika ni Hadiyth imekuja kwa njia ya jumla lakini imekusanya.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1414
- Imechapishwa: 20/12/2019
Swali: Ni marejeo yepi mazuri kwa anayetaka kujua sifa ya Hajj na ´Umrah?
Jibu: Tungo zilizotungwa na wanachuoni waaminifu kuhusu namna ya kutekeleza ´ibaadah ya hajj na ´Umrah ni nyingi. Hadiyth iliyokusanya kuhusu namna ya hajj ni ile ya Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh). Hakika ametaja namna ya sifa ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuanzia alipotoka al-Madiynah mpaka ile siku ya ´Iyd kwa upambanuzi. Hakika ni Hadiyth imekuja kwa njia ya jumla lakini imekusanya.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (61) http://binothaimeen.net/content/1414
Imechapishwa: 20/12/2019
https://firqatunnajia.com/marejeo-kuhusu-namna-ya-kuhiji-kwa-mujibu-wa-ibn-uthaymiyn/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)