Swali: Allaah ameapa kwa dhuhaa, akaapa kwa alfajiri na akaapa kwa usiku. Ni kwa nini alasiri hapa iwe na maana ya zama? Je, kuna karina inayofahamisha hivo?
Jibu: Karina inayoonyesha kuwa makusudio ya alasiri ni zama ni kwa kuwa Allaah (Ta´ala) ametaja kile anachokiapia – ambayo ni yale matendo ya waja – ambayo yanakuwa katika alasiri hii:
وَالْعَصْرِ إِنَّ الْإِنسَانَ لَفِي خُسْرٍ إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَتَوَاصَوْا بِالْحَقِّ وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ
“Naapa kwa al-‘Aswr. Hakika ya mwanadamu bila shaka yumo katika khasara, isipokuwa wale walioamini na wakatenda mema na wakausiana kwa haki na wakausiana subira.” (al-´Aswr 103:01-03)
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (37) http://binothaimeen.net/content/818
- Imechapishwa: 22/05/2020
Swali: Allaah ameapa kwa dhuhaa, akaapa kwa alfajiri na akaapa kwa usiku. Ni kwa nini alasiri hapa iwe na maana ya zama? Je, kuna karina inayofahamisha hivo?
Jibu: Karina inayoonyesha kuwa makusudio ya alasiri ni zama ni kwa kuwa Allaah (Ta´ala) ametaja kile anachokiapia – ambayo ni yale matendo ya waja – ambayo yanakuwa katika alasiri hii:
وَالْعَصْرِ إِنَّ الْإِنسَانَ لَفِي خُسْرٍ إِلَّا الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَتَوَاصَوْا بِالْحَقِّ وَتَوَاصَوْا بِالصَّبْرِ
“Naapa kwa al-‘Aswr. Hakika ya mwanadamu bila shaka yumo katika khasara, isipokuwa wale walioamini na wakatenda mema na wakausiana kwa haki na wakausiana subira.” (al-´Aswr 103:01-03)
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (37) http://binothaimeen.net/content/818
Imechapishwa: 22/05/2020
https://firqatunnajia.com/mapito-ya-ibn-uthaymiyn-juu-ya-aswr-kwamba-ni-zama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)