Swali: Mapenzi ya mume kumpenda mke wake na kumwambia “Mimi siwezi kuishi bila ya wewe”, je, haya ni mapenzi ya kumpenda asiyekuwa Allaah na kujifungamanisha na asiyekuwa Yeye?
Jibu: Haya ni mapenzi ya kimaumbile:
وَجَعَلَ بَيْنَكُم مَّوَدَّةً وَرَحْمَةً
“Amekujaalieni baina yenu mapenzi na rehema.” (30:21)
Haya ni mapenzi ya kimaumbile na sio mapenzi ya ´Ibaadah. Hakuna neno kwayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah_09-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Mapenzi ya mume kumpenda mke wake na kumwambia “Mimi siwezi kuishi bila ya wewe”, je, haya ni mapenzi ya kumpenda asiyekuwa Allaah na kujifungamanisha na asiyekuwa Yeye?
Jibu: Haya ni mapenzi ya kimaumbile:
وَجَعَلَ بَيْنَكُم مَّوَدَّةً وَرَحْمَةً
“Amekujaalieni baina yenu mapenzi na rehema.” (30:21)
Haya ni mapenzi ya kimaumbile na sio mapenzi ya ´Ibaadah. Hakuna neno kwayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah_09-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/mapenzi-baina-ya-wanandoa-ni-ya-kimaumbile-na-sio-ya-kidini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)