Swali: Ni ipi hukumu ya swawm ya mtoto?
Jibu: Swawm ya mtoto, ni kama tulivyotangulia kusema, sio wajibu kwake. Imependekezwa. Anapata thawabu akifunga. Vilevile hapati dhambi akiacha kufunga. Lakini ni lazima kwa mlezi wake kumuamrisha ili azowee.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/84)
- Imechapishwa: 28/05/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya swawm ya mtoto?
Jibu: Swawm ya mtoto, ni kama tulivyotangulia kusema, sio wajibu kwake. Imependekezwa. Anapata thawabu akifunga. Vilevile hapati dhambi akiacha kufunga. Lakini ni lazima kwa mlezi wake kumuamrisha ili azowee.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/84)
Imechapishwa: 28/05/2017
https://firqatunnajia.com/mapendekezo-ya-kuwaamrisha-watoto-kufunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)