Swali: Leo imekuwa ni jambo la kawaida kati ya baadhi ya? watu kuremba, kupamba na kuyang?arisha manyumba yao kwa ajili ya kuonyesha furaha ya Ramadhaan. Wapo wengine ambao wanazifanya maalum baadhi ya sehemu nyumbani kwa ajili ya mapambo na kupaka rangi na kupanga chakula cha futari na cha daku. Je, inafaa?
Jibu: Hili halina msingi. Hakuna tofauti kati ya Ramadhaan na miezi mingine inapokuja katika kutengeneza mambo ya nyumbani. Ramadhaan haitakiwi kufanywa maalum kwa chochote katika hayo. Ramadhaan haitakiwi kufanywa maalum kwa kuyapamba manyumba, mapazia na maonekano. Ramadhaan inatakiwa kufanywa maalum kwa ajili ya ?ibaadah, tawbah, kuswali Tarawiyh na swalah ya usiku na waislamu wengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DoIP75VDYCo&feature=youtu.be
- Imechapishwa: 27/05/2017
Swali: Leo imekuwa ni jambo la kawaida kati ya baadhi ya? watu kuremba, kupamba na kuyang?arisha manyumba yao kwa ajili ya kuonyesha furaha ya Ramadhaan. Wapo wengine ambao wanazifanya maalum baadhi ya sehemu nyumbani kwa ajili ya mapambo na kupaka rangi na kupanga chakula cha futari na cha daku. Je, inafaa?
Jibu: Hili halina msingi. Hakuna tofauti kati ya Ramadhaan na miezi mingine inapokuja katika kutengeneza mambo ya nyumbani. Ramadhaan haitakiwi kufanywa maalum kwa chochote katika hayo. Ramadhaan haitakiwi kufanywa maalum kwa kuyapamba manyumba, mapazia na maonekano. Ramadhaan inatakiwa kufanywa maalum kwa ajili ya ?ibaadah, tawbah, kuswali Tarawiyh na swalah ya usiku na waislamu wengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=DoIP75VDYCo&feature=youtu.be
Imechapishwa: 27/05/2017
https://firqatunnajia.com/mapambo-na-marembo-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)