Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
وكُلُّ شَيْءٍ هَالِكٌ إِلَّا وَجْهَهُ
“Kila kitu ni chenye kuangamia isipokuwa uso Wake.” (28:88)
Nini maana ya Aayah hii?
Jibu: Wafasiri wa Qur-aan wana maoni mawili kuhusu maana ya Aayah hii ambazo amezitaja Imaam at-Twabariy katika “Tafsiyr” yake kwa kusema:
1 – Wametofautiana maana ya:
إِلَّا وَجْهَهُ
“… isipokuwa uso Wake.”
baadhi yao wamesema kwamba kila kitu ni chenye kuangamia isipokuwa Yeye tu.
2 – Wengine wakasema kuwa maana yake ni kwamba isipokuwa tu kile kilchofanywa kwa kukusudia uso Wake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/كُلُّ-شَيْءٍ-هَالِكٌ-إِلَّا-وَجْهَهُ
- Imechapishwa: 17/06/2022
Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
وكُلُّ شَيْءٍ هَالِكٌ إِلَّا وَجْهَهُ
“Kila kitu ni chenye kuangamia isipokuwa uso Wake.” (28:88)
Nini maana ya Aayah hii?
Jibu: Wafasiri wa Qur-aan wana maoni mawili kuhusu maana ya Aayah hii ambazo amezitaja Imaam at-Twabariy katika “Tafsiyr” yake kwa kusema:
1 – Wametofautiana maana ya:
إِلَّا وَجْهَهُ
“… isipokuwa uso Wake.”
baadhi yao wamesema kwamba kila kitu ni chenye kuangamia isipokuwa Yeye tu.
2 – Wengine wakasema kuwa maana yake ni kwamba isipokuwa tu kile kilchofanywa kwa kukusudia uso Wake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/كُلُّ-شَيْءٍ-هَالِكٌ-إِلَّا-وَجْهَهُ
Imechapishwa: 17/06/2022
https://firqatunnajia.com/maoni-mawili-kuhusu-aayah-inayozungumzia-uso-wa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)