Swali: Ni yepi maoni yako juu ya Manhaj-ul-Muwaazanah?
Jibu: Sitambui Manhaj-ul-Muwaazanah. Hiki ni kitu kilichozuliwa na baadhi ya wajinga. Sitambui Manhaj-ul-Muwaazanah. Usawa unapatikana kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Yeye ndiye anayepima mema na maovu na anawalipa wenye nayo kwayo. Kuhusu sisi hatujui. Lakini hata hivyo tunamraddi mwenye kukosea. Mwenye kukosea tunamraddi. Haijalishi kitu hata kama atakuwa na mema. Mema yake yanatambuliwa na Allaah. Sisi tunaraddi kosa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=oMoaMLGx4k0
- Imechapishwa: 09/12/2017
Swali: Ni yepi maoni yako juu ya Manhaj-ul-Muwaazanah?
Jibu: Sitambui Manhaj-ul-Muwaazanah. Hiki ni kitu kilichozuliwa na baadhi ya wajinga. Sitambui Manhaj-ul-Muwaazanah. Usawa unapatikana kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa). Yeye ndiye anayepima mema na maovu na anawalipa wenye nayo kwayo. Kuhusu sisi hatujui. Lakini hata hivyo tunamraddi mwenye kukosea. Mwenye kukosea tunamraddi. Haijalishi kitu hata kama atakuwa na mema. Mema yake yanatambuliwa na Allaah. Sisi tunaraddi kosa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=oMoaMLGx4k0
Imechapishwa: 09/12/2017
https://firqatunnajia.com/manhaj-ul-muwaazanah-imezushwa-na-wajinga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)