Swali: Nimesikia mlinganizi mmoja akisema ya kwamba Ahl-us-Sunnah, Shiy´ah, Ismaa´iyliyyah na Ibaadhiyyah wote hawa wanaamini kuwa Allaah ndiye Mola wao, Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye Mtume wao na Uislamu ndio dini yao…[1]
Jibu: Sio sahihi. Huu ni mseto. Huku ni kuchanganya kati ya wapotevu na wale wenye kufuata haki. Hili sio sahihi. Haya ni maneno batili.
Swali: Watu wengi wamedanganyika na maneno yake. Ni zipi nasaha zako?
Jibu: Hakuna bahati juu ya hilo – Allaah akitaka. Maneno ya Ahl-us-Sunnah yako wazi.
[1] Swaalih al-Mughaamisiy amesema:
“Mimi nitasema kitu ambacho huenda wasithubutu kukisema baadhi ya wanachuoni. Mimi nasema kwa uwazi ya kwamba Ahl-us-Sunnah, Shiy´ah, Ismaa´iyliyyah na Ibaadhiyyah wote hawa wanaamini kuwa Allaah ndiye Mola wao, Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye Mtume wao na Uislamu ndio dini yao. Wanaposwali, wanaswali kuielekea Ka´bah. Wanaamini kuwa Ka´bah ndio Qiblah chao, Qur-aan ndio kitabu chao, Qiyaamah ndio sehemu walioahidiwa kukusanywa, Pepo ndio thawabu kwa wale watiifu na Moto ndio thawabu kwa makafiri. Isitoshe wanachinja!” http://okaz.com.sa/article/1551430?utm_source=widget&utm_campaign=plottr&utm_medium=related&plottr_widget=ELATEDAR#sthash.cEXXNhqA.dpuf
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://mobile.twitter.com/KSA_Ahmad__/status/880724364362211329/video/1
- Imechapishwa: 02/07/2017
Swali: Nimesikia mlinganizi mmoja akisema ya kwamba Ahl-us-Sunnah, Shiy´ah, Ismaa´iyliyyah na Ibaadhiyyah wote hawa wanaamini kuwa Allaah ndiye Mola wao, Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye Mtume wao na Uislamu ndio dini yao…[1]
Jibu: Sio sahihi. Huu ni mseto. Huku ni kuchanganya kati ya wapotevu na wale wenye kufuata haki. Hili sio sahihi. Haya ni maneno batili.
Swali: Watu wengi wamedanganyika na maneno yake. Ni zipi nasaha zako?
Jibu: Hakuna bahati juu ya hilo – Allaah akitaka. Maneno ya Ahl-us-Sunnah yako wazi.
[1] Swaalih al-Mughaamisiy amesema:
“Mimi nitasema kitu ambacho huenda wasithubutu kukisema baadhi ya wanachuoni. Mimi nasema kwa uwazi ya kwamba Ahl-us-Sunnah, Shiy´ah, Ismaa´iyliyyah na Ibaadhiyyah wote hawa wanaamini kuwa Allaah ndiye Mola wao, Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye Mtume wao na Uislamu ndio dini yao. Wanaposwali, wanaswali kuielekea Ka´bah. Wanaamini kuwa Ka´bah ndio Qiblah chao, Qur-aan ndio kitabu chao, Qiyaamah ndio sehemu walioahidiwa kukusanywa, Pepo ndio thawabu kwa wale watiifu na Moto ndio thawabu kwa makafiri. Isitoshe wanachinja!” http://okaz.com.sa/article/1551430?utm_source=widget&utm_campaign=plottr&utm_medium=related&plottr_widget=ELATEDAR#sthash.cEXXNhqA.dpuf
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://mobile.twitter.com/KSA_Ahmad__/status/880724364362211329/video/1
Imechapishwa: 02/07/2017
https://firqatunnajia.com/maneno-ya-kipotevu-ya-al-mughaamisiy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)