Manabii wanavotoa salamu ndani ya Biblia ndivo waislamu hii leo wanavofanya II

19Ikawa jioni, siku ile ya kwanza ya juma, pale walipokuwapo wanafunzi, milango imefungwa kwa hofu ya Wayahudi; akaja Yesu, akasimama katikati, akawaambia, Amani iwe kwenu. 20Naye akiisha kusema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi wale wanafunzi wakafurahi walipomwona Bwana. 21Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.

  • Marejeo: 20:19 https://www.bible.com/sw/bible/164/JHN.20.SUV
  • Imechapishwa: 31/01/2020