Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَالَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ وَمَا أُنزِلَ مِن قَبْلِكَ وَبِالْآخِرَةِ هُمْ يُوقِنُونَ
“Ambao wanaamini yaliyoteremshwa kwako na yale yaliyoteremshwa kabla yako na ni wenye yakini na Aakhirah.” (02:04)
Katika kuamini Aakhirah kunaingia yale yote aliyoelezea Allaah katika ghaibu zilizotangulia, ghaibu zinazokuja huko mbele, hali za Aakhirah, uhakika na namna ya sifa za Allaah na yale waliyoelezea Mitume katika hayo. Wanaamini sifa za Allaah na uwepo wake na wanaziyakinisha ijapo hawajui namna zilivyo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Taysiyr-ul-Kariym, sid. 30
- Imechapishwa: 04/05/2020
Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَالَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ وَمَا أُنزِلَ مِن قَبْلِكَ وَبِالْآخِرَةِ هُمْ يُوقِنُونَ
“Ambao wanaamini yaliyoteremshwa kwako na yale yaliyoteremshwa kabla yako na ni wenye yakini na Aakhirah.” (02:04)
Katika kuamini Aakhirah kunaingia yale yote aliyoelezea Allaah katika ghaibu zilizotangulia, ghaibu zinazokuja huko mbele, hali za Aakhirah, uhakika na namna ya sifa za Allaah na yale waliyoelezea Mitume katika hayo. Wanaamini sifa za Allaah na uwepo wake na wanaziyakinisha ijapo hawajui namna zilivyo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Taysiyr-ul-Kariym, sid. 30
Imechapishwa: 04/05/2020
https://firqatunnajia.com/mambo-haya-ni-katika-kumwamini-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)