Swali: Mama yangu ananiamrisha kuvua Hijaab. Kwa sababu ya kukataa kwangu hanisemeshi kwa masiku mengi na wala hataki nimzungumzishe. Nichukue msimamo gani juu yake?
Jibu: Mkinaishe kwamba Hijaab ni jambo la wajibu. Asipokinaika basi usimjali juu ya sharti yake. Usimtii katika jambo hilo:
“Si vyenginevyo isipokuwa utiifu unakuwa katika mema. Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
- Imechapishwa: 05/08/2019
Swali: Mama yangu ananiamrisha kuvua Hijaab. Kwa sababu ya kukataa kwangu hanisemeshi kwa masiku mengi na wala hataki nimzungumzishe. Nichukue msimamo gani juu yake?
Jibu: Mkinaishe kwamba Hijaab ni jambo la wajibu. Asipokinaika basi usimjali juu ya sharti yake. Usimtii katika jambo hilo:
“Si vyenginevyo isipokuwa utiifu unakuwa katika mema. Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18073
Imechapishwa: 05/08/2019
https://firqatunnajia.com/mama-vua-hijaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)