Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia mtu:
”Wewe na baba yako ni mali ya baba yako.”
Je, mama akichukua mali ya mtoto wake inaingia katika dalili hii?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
”… ni mali ya baba yako.”
Mama haingii katika andiko hili. Mama sio baba.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
- Imechapishwa: 09/10/2017
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia mtu:
”Wewe na baba yako ni mali ya baba yako.”
Je, mama akichukua mali ya mtoto wake inaingia katika dalili hii?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
”… ni mali ya baba yako.”
Mama haingii katika andiko hili. Mama sio baba.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%2019-03-1438H.mp3%2001.mp3
Imechapishwa: 09/10/2017
https://firqatunnajia.com/mama-si-kama-baba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)