Swali: Ni ipi hukumu kwa mama ambaye sio fakiri anamuomba pesa mwanae. Je, ni wajibu kwa mtoto wake kumpa?
Jibu: Ndio, ampe mama yake na amridhishe. Isipokuwa tu ikiwa kama amemuomba pesa nyingi zenye kumdhuru, katika hali hii sio lazima. Ama kiwango kidogo na kiwango ambacho kinamridhisha mama yake ni sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13389
- Imechapishwa: 25/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu kwa mama ambaye sio fakiri anamuomba pesa mwanae. Je, ni wajibu kwa mtoto wake kumpa?
Jibu: Ndio, ampe mama yake na amridhishe. Isipokuwa tu ikiwa kama amemuomba pesa nyingi zenye kumdhuru, katika hali hii sio lazima. Ama kiwango kidogo na kiwango ambacho kinamridhisha mama yake ni sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13389
Imechapishwa: 25/04/2018
https://firqatunnajia.com/mama-kumpa-pesa-mama-tajiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)