Swali: Mwanamke huyu anaishi katika mji na amejaaliwa kupata watoto ambao umri wao ni miaka ni 12, 9 na 7. Baba yao ni mwenye kuhifadhi swalah msikitini na anataka kuwachukua watoto pamoja naye. Lakini hata hivyo nakataa nachelea juu yao kijicho na badala yake wanaswali nyumbani.
Jibu: Wasiwasi huu ni kutoka kwa shaytwaan. Waache waende na baba yao msikitini ili waweze kujifunza swalah pamoja na waislamu. Usiwe na wasiwasi ukachelea juu yao kupatwa na kijicho na mfano wa hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 03/12/2017
Swali: Mwanamke huyu anaishi katika mji na amejaaliwa kupata watoto ambao umri wao ni miaka ni 12, 9 na 7. Baba yao ni mwenye kuhifadhi swalah msikitini na anataka kuwachukua watoto pamoja naye. Lakini hata hivyo nakataa nachelea juu yao kijicho na badala yake wanaswali nyumbani.
Jibu: Wasiwasi huu ni kutoka kwa shaytwaan. Waache waende na baba yao msikitini ili waweze kujifunza swalah pamoja na waislamu. Usiwe na wasiwasi ukachelea juu yao kupatwa na kijicho na mfano wa hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 03/12/2017
https://firqatunnajia.com/mama-anawazuia-watoto-wasende-msikitini-na-baba-yao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)