Swali: Kuna mtu anafanya kazi katika mji huu (Saudi Arabia) na mama yake anamuomba kila siku amuwekee video camera ili aweze kuwaona. Je, amuitikie?
Jibu: Hapana, asimuitikie kwa mambo ya mapicha. Kwa kuwa picha ni haramu. Maadamu ni haramu mtu ajiepushe nayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Kuna mtu anafanya kazi katika mji huu (Saudi Arabia) na mama yake anamuomba kila siku amuwekee video camera ili aweze kuwaona. Je, amuitikie?
Jibu: Hapana, asimuitikie kwa mambo ya mapicha. Kwa kuwa picha ni haramu. Maadamu ni haramu mtu ajiepushe nayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/mama-anataka-mtoto-amuwekee-video-camera-aweze-kumuona/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)