Swali: Mamangu bado ni mwenye kuendelea kumuomba mke wangu kuonesha uso wake mbele ya ndugu zangu ambao wamekwishabaleghe. Nimeshamnasihi mara nyingi ya kwamba hili halijuzu, lakini bado ameng´anga´ania kumuomba hili mke wangu. Unaninasihi nini katika jambo hili?
Jibu: Tunakunasihi kumuasi katika jambo hili. Haijuzu kwenu kumtii katika kumuasi Allaah (´Azza wa Jall).
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Kiumbe yeyote yule. Hata baba hatiiwi katika kumuasi Allaah (´Azza wa Jall):
وَإِن جَاهَدَاكَ لِتُشْرِكَ بِي مَا لَيْسَ لَكَ بِهِ عِلْمٌ فَلَا تُطِعْهُمَا
“Wakikufanyia juhudi kwamba unishirikishe na ambayo huna elimu nayo, basi usiwatii.” (29:08)
Haijuzu kumtii mzazi katika kumuasi Allaah (´Azza wa Jall), si mzazi wala mwengine yeyote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–20041434.mp3
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Mamangu bado ni mwenye kuendelea kumuomba mke wangu kuonesha uso wake mbele ya ndugu zangu ambao wamekwishabaleghe. Nimeshamnasihi mara nyingi ya kwamba hili halijuzu, lakini bado ameng´anga´ania kumuomba hili mke wangu. Unaninasihi nini katika jambo hili?
Jibu: Tunakunasihi kumuasi katika jambo hili. Haijuzu kwenu kumtii katika kumuasi Allaah (´Azza wa Jall).
“Hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.”
Kiumbe yeyote yule. Hata baba hatiiwi katika kumuasi Allaah (´Azza wa Jall):
وَإِن جَاهَدَاكَ لِتُشْرِكَ بِي مَا لَيْسَ لَكَ بِهِ عِلْمٌ فَلَا تُطِعْهُمَا
“Wakikufanyia juhudi kwamba unishirikishe na ambayo huna elimu nayo, basi usiwatii.” (29:08)
Haijuzu kumtii mzazi katika kumuasi Allaah (´Azza wa Jall), si mzazi wala mwengine yeyote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–20041434.mp3
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/mama-anataka-mke-wangu-aoneshe-uso-mbele-ya-ndugu-zangu-wa-kiume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)