Swali: Nina mali Benki ambayo imeshafanya zaidi ya mwaka. Makusudio yangu kwa mali hii nataka kununua gari au nyumba ya kueshi ndani yake na makusudio yangu sio biashara. Je, ni wajibu kwangu kutoa Zakaah?
Jibu: Bila ya shaka ina Zakaah. Ikifikisha Niswaab na kufikiwa na Hawl ni wajibu kuitolea Zakaah, kwa makusudio yoyote umeyokusudia, sawa ikiwa ni kwa ajili ya kuoa, kununua gari, kujenga nyumba n.k. Mali iliyoeneza Niswaab na kufikiwa na Hawl ni wajibu kuitolea Zakaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Bila ya shaka ina Zakaah. Ikifikisha Niswaab na kufikiwa na Hawl ni wajibu kuitolea Zakaah, kwa makusudio yoyote umeyokusudia, sawa ikiwa ni kwa ajili ya kuoa, kununua gari, kujenga nyumba n.k. Mali iliyoeneza Niswaab na kufikiwa na Hawl ni wajibu kuitolea Zakaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (08) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-15.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/mali-iliyokusudiwa-kununua-gari-nyumba-na-mfano-wa-hayo-ina-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)