Swali: Allaah alimruhusu Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutembelea kaburi la mama yake. Je, ni dalili inayofahamisha kutembelea makaburi ya makafiri? Ikiwa mambo ni hivyo kuna du´aa ya mtu kusoma wakati wa kuingia?
Jibu: Kuna malengo mawili ya kuyatembelea makaburi:
1- Mazingatio. Katika hali hii inajuzu kutembelea makaburi ya makafiri. Lengo ni kupata mazingatio na kuyakumbuka mauti.
2- Kuwaombea du´aa. Hili ni jambo maalum kwa waumini. Awaombee du´aa waumini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Allaah alimruhusu Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutembelea kaburi la mama yake. Je, ni dalili inayofahamisha kutembelea makaburi ya makafiri? Ikiwa mambo ni hivyo kuna du´aa ya mtu kusoma wakati wa kuingia?
Jibu: Kuna malengo mawili ya kuyatembelea makaburi:
1- Mazingatio. Katika hali hii inajuzu kutembelea makaburi ya makafiri. Lengo ni kupata mazingatio na kuyakumbuka mauti.
2- Kuwaombea du´aa. Hili ni jambo maalum kwa waumini. Awaombee du´aa waumini.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/malengo-mawili-ya-kuyatembelea-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)