Malaika wanajiepusha kuingia nyumba kama hizi

Swali: Je, tunaweza kusema kwamba nyumba ambayo iko na kifaa cha dishi/king´amuzi du´aa haikubaliwi na Malaika hawaingii ndani yake?

Jibu: Inakhofiwa wakazuiliwa Malaika kuingia ndani ikiwa ndani yake kuna king´amuzi kinachoeneza maovu na maharibifu. Hapana shaka kwamba Malaika ni wenye kukimbia mambo hayo.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
  • Imechapishwa: 02/07/2021