Swali: Kuna ambao wanataka kuwekwe makumbusho (museum) na kuwekwe ndani yake zile athari zote zinazohusiana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo kwa sababu hilo linapelekea katika kupetuka mipaka juu athari hizi. Halijuzu hilo. Huku ni kuhuisha Bid´ah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (55) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16503
- Imechapishwa: 23/09/2017
Swali: Kuna ambao wanataka kuwekwe makumbusho (museum) na kuwekwe ndani yake zile athari zote zinazohusiana na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo kwa sababu hilo linapelekea katika kupetuka mipaka juu athari hizi. Halijuzu hilo. Huku ni kuhuisha Bid´ah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (55) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16503
Imechapishwa: 23/09/2017
https://firqatunnajia.com/makumbusho-museum-ya-kiislamu-hayajuzu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)